Mtume (SAW) ameifanya kazi yake
kwa ukamilifu
na ameufikisha ujumbe kwa watu kama
alivyotakiwa.
Wakati mwingine alikuwa akiwaendea watu maalum au huwaalika watu chakula, na
mara nyengine hujitolea kuyaendea makabila mbali mbali huku akiwa na subira juu
ya yale yanayomkuta, na kabila moja baada ya moja humkatalia.