Ikiwa Mtume
صلى الله عليه وسلم
ambaye amefutiwa madhambi yake yaliyotangulia
na yajayo na alikuwa akiomba kila siku maghfira
na tawbah kwa Allaah
سبحانه وتعالى
, seuze sisi?
Kwa hiyo inampasa
Muislamu kila siku aombe maghfria na tawbah mara
mia au zaidi kwa siku
((عن أبي هريرة رضي الله عنه، قال: سمعت رسول الله
صلى الله عليه وسلم يقول:
والله إني لأستغفر الله وأتوب إليه في اليوم
أكثر من سبعين مرة)) رواه
البخاري .
(( Imetoka kwa Abu Hurayra رضي الله عنه alimsikia Mtume صلى الله عليه وسلم akisema: Wallahi mimi naomba maghfira kwa Allaah na kutubu Kwake zaidi ya mara sabiini kwa siku )) Imesimuliwa na Al-Bukhari
وفي حديث آخر عند مسلم قال:
يا
أيها الناس توبوا إلى الله واستغفروه فإني أتوب
في اليوم مائة
مرة))
Katika
hadithi nyingine kutoka kwa Muslim kasema:
Enyi
Watu tubuni kwa Allaah na muombe magfhira kwani
mimi huomba tawbah mara mia kwa siku))
Rakaa mbili za Swalaatu-tawabah
)ما
من رجل
يذنب
ذنبا،
ثم
يقوم فيتطهر،
ثم
يصلي،
ثم
يستغفر الله، إلا غفر الله له،
ثم
قرأ هذه الآية
}}والذين
إذا فعلوا فاحشة أو ظلموا أنفسهم ذكروا الله{{
،
إلى آخر الآية((
رواه
ابو داود و الترمذى و النسائي عن أبي بكر الصديق
رضى الله عنه صحيح
الألباني
صحيح الترغيب
((Yeyote
atakayefanya dhambi kisha akachukua wudhuu,
kisha akaswali, kisha akaomba maghfira basi
Allaah
سبحانه وتعالى
Atamghufuria, kisha akasoma ayah hii:
{{Na
ambao pindi wafanyapo uchafu au wakajidhulumu
nafsi zao humkumbuka Mwenyezi Mungu}} mpaka
mwisho wa aya))
Imepokelewa na
Abu Dawuud, At-Tirmidhiy, An-Nasaai,
na Abu Bakr
رضى الله عنه
- Imesahihishwa na Sh.Albani.
((وعن شداد بن أوس رضي الله عنه عن النبي صلى الله
عليه وسلم أنه قال: سيد
الاستغفار أن يقول العبد :
((اللّهـمَّ أَنْتَ رَبِّـي لا إلهَ إلاّ أَنْتَ ،
خَلَقْتَنـي وَأَنا عَبْـدُك ، وَأَنا عَلـى
عَهْـدِكَ وَوَعْـدِكَ ما اسْتَـطَعْـت ،
أَعـوذُبِكَ مِنْ شَـرِّ ما صَنَـعْت ، أَبـوءُ
لَـكَ بِنِعْـمَتِـكَ عَلَـيَّ وَأَبـوءُ
بِذَنْـبي فَاغْفـِرْ لي فَإِنَّـهُ لا يَغْـفِرُ
الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْتَ))
. رواه البخاري في صحيحه
Imetoka kwa Shaddaad Bin 'Aws
رضي الله عنه
kwamba Mtume
صلى الله عليه وسلم
kasema, Bwana wa Istighfaar ni kusema:
“Ewe
Mwenyezi Mungu Wewe ni Mola wangu, hapana mola
apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, umeniumba
mimi na mimi ni mja wako, nami niko juu ya
ahadi yako, na agano lako, kiasi cha uwezo wangu,
najilinda kwako kutokana na shari ya
nilichokifanya, nakiri kwako kwa kunineemesha,
na nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba
unisamehe kwani hasamehi madhambi ila Wewe))
Al-Bukhaari
Dua ya Nabii Yunus Alayhis-salaam alipokuwa
tumboni mwa samaki
}}لاَ
إِلَهَ إِلاَّ أَنتَ سُبْحَانَكَ إِنِّي كُنتُ
مِنَ الظَّالِمِينَ{{
{{Hapana
mungu isipo kuwa Wewe Subhanaka Uliye takasika.
Hakika mimi nilikuwa miongoni mwa wenye
kudhulumu}}
Anbiyaa 87
Tasbihi zenye kufuta dhambi
((قال النبي صلى الله عليه وسلم : من قال سبحان
الله وبحمده في يوم مائة مرة غفرت له ذنوبه وإن
كانت مثل زبد البحر))
((Amesema
Mtume
صلى الله عليه وسلم
‘Mwenye kusema
سُبْحَانَ اللهِ وَبِحَمْدِهِ
“Ametakasika Mwenyezi Mungu na sifa njema zote
ni zake" kwa siku mara mia, atafutiwa madhambi
yake hata
((قال صلى الله عليه وسلم
من قال حين يأوي إلى فراشه : لا إله
إلا الله
وحده لا شريك
له،له
الملك،وله
الحمد،وهو على كل شيء قدير، لاحول ولا قوة إلا
بالله
العلى العظيم،سبحان الله، والحمد لله،ولا إله
إلا الله،والله
أكبر ؛غفرت
له
ذنوبه
أوخطاياه
وإن
كانت
مثل
زبد
البحر))
صحيح
الألباني
صحيح الترغيب
((Kasema
Mtume
صلى الله عليه وسلم
anapokwenda mtu kulala kitandani mwake akasema
:
لا إله
إلا الله
وحده لا شريك
له، له
الملك،وله
الحمد، وهو على كل شيء قدير، لاحول ولا قوة إلا
بالله
العلى العظيم،سبحان الله،والحمد لله،ولا إله
إلا الله،والله
أكبر
Hufutiwa dhambi zake hata

